1
Siku sita zimepita, Sabato tena karudi, Shangilie roho yangu, itukuze kwa busara.
2
Msifuni awapaye, pumziko tamu wachovu, Kwake roho yatulizwa, kupita siku nyingine.
3
Moyo wetu ufurahi, na kutoa shukurani, Ujalizwe raha ile, yasiyopitika kamwe.
4
Raha hiyo ya rohoni, ni amana ya pumziko, Ambalo limewekwa juu, kikomo cha masumbuko.